<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?><rss xmlns:googleplay="http://www.google.com/schemas/play-podcasts/1.0" xmlns:itunes="http://www.itunes.com/dtds/podcast-1.0.dtd" xmlns:podcast="https://podcastindex.org/namespace/1.0" version="2.0" xmlns:atom="http://www.w3.org/2005/Atom">
<channel>
	<atom:link href="https://hearthis.at/meaconscious/podcast/" rel="self" type="application/rss+xml" />
	<lastBuildDate>Thu, 23 Apr 2026 20:16:47 +0200</lastBuildDate>
	<title><![CDATA[YouTube ]]></title>
	<link>https://hearthis.at/meaconscious/</link>
	<language>en-EN</language>
	<copyright><![CDATA[]]></copyright>
	<itunes:subtitle><![CDATA[Podcast of FIKRALOJIA MUSICIANSHIP]]></itunes:subtitle>
	<itunes:author><![CDATA[FIKRALOJIA MUSICIANSHIP ]]></itunes:author>
	<googleplay:author><![CDATA[FIKRALOJIA MUSICIANSHIP ]]></googleplay:author>
	<itunes:summary><![CDATA[Check out the song.. YANGA STAND UP by MeaConscious X Sulesh MC by FIKRALOJIA#
mdundo.com/song/2207692?appshare
Kwenye sanaa kuna uandishi mpito na ule unaoishi.....
1_Uandishi mpito huusu zaidi mambo ya sasa/currently
*Sifa
Si rahisi kubuni utabiri(predictions) 
2_Unaoishi yawezakuwa miongo kumi na kuendelea
*Wimbo kama
#YANGA STAND UP hii imeimbwa Taassi na sio mtu au Umetunga kuhusu nchi na sio mtawala kwasababu mtawala/Utawala hubadilika lakini Nchi sio rahisi kubadilika jina na mipaka yake.
Pia kuna muktadha ya aina ya ujumbe unaoishi/Asili na Umilele
Mfano kama wimbo wa
#BobMarley  _ No Woman no Cry yaani title ya wimbo inahakisi/inajadili asili(nature) na hali ya umilele. Nyinginezo #DiniTumeletewa wa Afande Sele
#Kifo wa Lemi Ongala
#Yajayo wa Sulesh Mc
#Dunia wa Harmonize
#one people different color wa Luck Dube
#Gosples, Qaswida na imani au Kiroho_ japo sio zote lakini nyingi zinahakisi asili na umilele..
#Pia zipo za kuburusha tu(Kupali) na zinaweza zisiwe na ujumbe wa moja kwa moja...
NOTE: Mkijadili ubora wa vitu hivyo mjue kabisa vinategemeana na mazingira, hali na haja ya waandaaji wa kazi hiyo ya Sanaa na mpokeaji yaani Hadhira
Inaendelea............
Subscribe Channel pendwa kwa ngoma 
youtube.com/@fikralojiamusicianship]]></itunes:summary>
	<googleplay:description><![CDATA[Check out the song.. YANGA STAND UP by MeaConscious X Sulesh MC by FIKRALOJIA#
mdundo.com/song/2207692?appshare
Kwenye sanaa kuna uandishi mpito na ule unaoishi.....
1_Uandishi mpito huusu zaidi mambo ya sasa/currently
*Sifa
Si rahisi kubuni utabiri(predictions) 
2_Unaoishi yawezakuwa miongo kumi na kuendelea
*Wimbo kama
#YANGA STAND UP hii imeimbwa Taassi na sio mtu au Umetunga kuhusu nchi na sio mtawala kwasababu mtawala/Utawala hubadilika lakini Nchi sio rahisi kubadilika jina na mipaka yake.
Pia kuna muktadha ya aina ya ujumbe unaoishi/Asili na Umilele
Mfano kama wimbo wa
#BobMarley  _ No Woman no Cry yaani title ya wimbo inahakisi/inajadili asili(nature) na hali ya umilele. Nyinginezo #DiniTumeletewa wa Afande Sele
#Kifo wa Lemi Ongala
#Yajayo wa Sulesh Mc
#Dunia wa Harmonize
#one people different color wa Luck Dube
#Gosples, Qaswida na imani au Kiroho_ japo sio zote lakini nyingi zinahakisi asili na umilele..
#Pia zipo za kuburusha tu(Kupali) na zinaweza zisiwe na ujumbe wa moja kwa moja...
NOTE: Mkijadili ubora wa vitu hivyo mjue kabisa vinategemeana na mazingira, hali na haja ya waandaaji wa kazi hiyo ya Sanaa na mpokeaji yaani Hadhira
Inaendelea............
Subscribe Channel pendwa kwa ngoma 
youtube.com/@fikralojiamusicianship]]></googleplay:description>
	<description><![CDATA[Check out the song.. YANGA STAND UP by MeaConscious X Sulesh MC by FIKRALOJIA#
mdundo.com/song/2207692?appshare
Kwenye sanaa kuna uandishi mpito na ule unaoishi.....
1_Uandishi mpito huusu zaidi mambo ya sasa/currently
*Sifa
Si rahisi kubuni utabiri(predictions) 
2_Unaoishi yawezakuwa miongo kumi na kuendelea
*Wimbo kama
#YANGA STAND UP hii imeimbwa Taassi na sio mtu au Umetunga kuhusu nchi na sio mtawala kwasababu mtawala/Utawala hubadilika lakini Nchi sio rahisi kubadilika jina na mipaka yake.
Pia kuna muktadha ya aina ya ujumbe unaoishi/Asili na Umilele
Mfano kama wimbo wa
#BobMarley  _ No Woman no Cry yaani title ya wimbo inahakisi/inajadili asili(nature) na hali ya umilele. Nyinginezo #DiniTumeletewa wa Afande Sele
#Kifo wa Lemi Ongala
#Yajayo wa Sulesh Mc
#Dunia wa Harmonize
#one people different color wa Luck Dube
#Gosples, Qaswida na imani au Kiroho_ japo sio zote lakini nyingi zinahakisi asili na umilele..
#Pia zipo za kuburusha tu(Kupali) na zinaweza zisiwe na ujumbe wa moja kwa moja...
NOTE: Mkijadili ubora wa vitu hivyo mjue kabisa vinategemeana na mazingira, hali na haja ya waandaaji wa kazi hiyo ya Sanaa na mpokeaji yaani Hadhira
Inaendelea............
Subscribe Channel pendwa kwa ngoma 
youtube.com/@fikralojiamusicianship]]></description>
	<itunes:owner>
	<itunes:name><![CDATA[FIKRALOJIA MUSICIANSHIP ]]></itunes:name>
	<itunes:email>africanvoicetop@gmail.com</itunes:email>
	</itunes:owner>
	<googleplay:image href="https://img.hearthis.at/7/1/0/_/uploads/9603975/image_user/w1400_h1400_q70_ptrue_v2_----cropped_1636790235017.jpg"/>
	<itunes:image href="https://img.hearthis.at/7/1/0/_/uploads/9603975/image_user/w1400_h1400_q70_ptrue_v2_----cropped_1636790235017.jpg" />
    <googleplay:owner>africanvoicetop@gmail.com</googleplay:owner>
	<image>
      <link>https://hearthis.at/meaconscious/</link>
      <title>YouTube </title>
      <url>https://img.hearthis.at/7/1/0/_/uploads/9603975/image_user/w1400_h1400_q70_ptrue_v2_----cropped_1636790235017.jpg</url>
    </image>
	<googleplay:explicit>yes</googleplay:explicit>
	<itunes:explicit>yes</itunes:explicit>
	<category><![CDATA[Arts]]></category>
	<googleplay:category text="Arts"/>
	<itunes:category text="Arts"/>
	<itunes:keywords><![CDATA[]]></itunes:keywords>
	
	
        <item>
            <title><![CDATA[I love you]]></title>
            <link>https://hearthis.at/meaconscious/i-love-you/</link>
            <itunes:author><![CDATA[FIKRALOJIA MUSICIANSHIP ]]></itunes:author>
            <description><![CDATA[Check out the song.. YANGA STAND UP by MeaConscious X Sulesh MC by FIKRALOJIA#
mdundo.com/song/2207692?appshare
Kwenye sanaa kuna uandishi mpito na ule unaoishi.....
1_Uandishi mpito huusu zaidi mambo ya sasa/currently
*Sifa
Si rahisi kubuni utabiri(predictions) 
2_Unaoishi yawezakuwa miongo kumi na kuendelea
*Wimbo kama
#YANGA STAND UP hii imeimbwa Taassi na sio mtu au Umetunga kuhusu nchi na sio mtawala kwasababu mtawala/Utawala hubadilika lakini Nchi sio rahisi kubadilika jina na mipaka yake.
Pia kuna muktadha ya aina ya ujumbe unaoishi/Asili na Umilele
Mfano kama wimbo wa
#BobMarley  _ No Woman no Cry yaani title ya wimbo inahakisi/inajadili asili(nature) na hali ya umilele. Nyinginezo #DiniTumeletewa wa Afande Sele
#Kifo wa Lemi Ongala
#Yajayo wa Sulesh Mc
#Dunia wa Harmonize
#one people different color wa Luck Dube
#Gosples, Qaswida na imani au Kiroho_ japo sio zote lakini nyingi zinahakisi asili na umilele..
#Pia zipo za kuburusha tu(Kupali) na zinaweza zisiwe na ujumbe wa moja kwa moja...
NOTE: Mkijadili ubora wa vitu hivyo mjue kabisa vinategemeana na mazingira, hali na haja ya waandaaji wa kazi hiyo ya Sanaa na mpokeaji yaani Hadhira
Inaendelea............
Subscribe Channel pendwa kwa ngoma 
youtube.com/@fikralojiamusicianship]]></description>
            <googleplay:description><![CDATA[Check out the song.. YANGA STAND UP by MeaConscious X Sulesh MC by FIKRALOJIA#
mdundo.com/song/2207692?appshare
Kwenye sanaa kuna uandishi mpito na ule unaoishi.....
1_Uandishi mpito huusu zaidi mambo ya sasa/currently
*Sifa
Si rahisi kubuni utabiri(predictions) 
2_Unaoishi yawezakuwa miongo kumi na kuendelea
*Wimbo kama
#YANGA STAND UP hii imeimbwa Taassi na sio mtu au Umetunga kuhusu nchi na sio mtawala kwasababu mtawala/Utawala hubadilika lakini Nchi sio rahisi kubadilika jina na mipaka yake.
Pia kuna muktadha ya aina ya ujumbe unaoishi/Asili na Umilele
Mfano kama wimbo wa
#BobMarley  _ No Woman no Cry yaani title ya wimbo inahakisi/inajadili asili(nature) na hali ya umilele. Nyinginezo #DiniTumeletewa wa Afande Sele
#Kifo wa Lemi Ongala
#Yajayo wa Sulesh Mc
#Dunia wa Harmonize
#one people different color wa Luck Dube
#Gosples, Qaswida na imani au Kiroho_ japo sio zote lakini nyingi zinahakisi asili na umilele..
#Pia zipo za kuburusha tu(Kupali) na zinaweza zisiwe na ujumbe wa moja kwa moja...
NOTE: Mkijadili ubora wa vitu hivyo mjue kabisa vinategemeana na mazingira, hali na haja ya waandaaji wa kazi hiyo ya Sanaa na mpokeaji yaani Hadhira
Inaendelea............
Subscribe Channel pendwa kwa ngoma 
youtube.com/@fikralojiamusicianship]]></googleplay:description>
            <itunes:summary><![CDATA[]]></itunes:summary>
            <itunes:image href="https://img.hearthis.at/6/6/4/_/uploads/9603975/image_track/6385954/w1400_h1400_q70_ptrue_v2_----cropped_1636790171466.jpg" />
            <enclosure type="audio/mpeg" url="https://hearthis.at/meaconscious/i-love-you/listen.mp3?s=btq" length="4814332" />
            <guid isPermaLink="false">6385954</guid>
            <category><![CDATA[Arts]]></category>
            <googleplay:explicit>yes</googleplay:explicit>
            <itunes:explicit>yes</itunes:explicit>
            
            
            
                <pubDate>Sat, 13 Nov 2021 08:52:07 +0100</pubDate>
                
                <atom:updated>2021-11-13T08:52:07+01:00</atom:updated>
                
            
            
            <itunes:duration>3:20</itunes:duration>
        </item>
        <item>
            <title><![CDATA[ONLY one DAY by fikralojiaMusicianship]]></title>
            <link>https://hearthis.at/meaconscious/onlyoneday/</link>
            <itunes:author><![CDATA[FIKRALOJIA MUSICIANSHIP ]]></itunes:author>
            <description><![CDATA[Kosa langu me kukuçhagua,<br />
Ikulu mwili wangu unanisumbua,<br />
Nikupe nini ulidhike, yakome masekeseke.<br />
Silali niwewesekeeh heeeh ee eeeh!!??<br />
<br />
Bridge<br />
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,<br />
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2<br />
huuuuuuuuh Moyo wangu<br />
<br />
Kiitikio<br />
Only one day ningekuwa kama wale,<br />
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale x2<br />
<br />
Nijichane kifuani, nikianike hadharani,<br />
Mfupa kwa kiboyo, siwezi kuwa poyoyo,<br />
<br />
Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,<br />
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka<br />
<br />
Bridge<br />
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,<br />
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2<br />
huuuuuuuuh Moyo wangu<br />
hiiiiiiih Nafsi yangu<br />
<br />
Kiitikio<br />
Only one day ningekuwa kama wale,<br />
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale x2<br />
<br />
Nijichane kifuani, nikuanike hadharani,<br />
Mfupa kwa kibogoyo, siwezi kuwa poyoyo,<br />
<br />
Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,<br />
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka<br />
<br />
Bridge<br />
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,<br />
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2<br />
huuuuuuuuh Moyo wangu<br />
hiiiiiiih Nafsi yangu<br />
<br />
Only one day, ningekuwa kama wale,<br />
Kama maisha ya kambale eeeeeh<br />
<br />
Vitam tamu ndani yake vina sumu, wewe Moyoooh<br />
Mbona una nihukumu X2<br />
<br />
Only one day, ningekuwa kama wale<br />
Tungekuwa saresare<br />
Kama maisha ya kambale eeeeh<br />
<br />
***Written by meaconscious<br />
<br />
Only one day<br />
https://youtu.be/kg96TPuku6E]]></description>
            <googleplay:description><![CDATA[Kosa langu me kukuçhagua,<br />
Ikulu mwili wangu unanisumbua,<br />
Nikupe nini ulidhike, yakome masekeseke.<br />
Silali niwewesekeeh heeeh ee eeeh!!??<br />
<br />
Bridge<br />
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,<br />
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2<br />
huuuuuuuuh Moyo wangu<br />
<br />
Kiitikio<br />
Only one day ningekuwa kama wale,<br />
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale x2<br />
<br />
Nijichane kifuani, nikianike hadharani,<br />
Mfupa kwa kiboyo, siwezi kuwa poyoyo,<br />
<br />
Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,<br />
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka<br />
<br />
Bridge<br />
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,<br />
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2<br />
huuuuuuuuh Moyo wangu<br />
hiiiiiiih Nafsi yangu<br />
<br />
Kiitikio<br />
Only one day ningekuwa kama wale,<br />
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale x2<br />
<br />
Nijichane kifuani, nikuanike hadharani,<br />
Mfupa kwa kibogoyo, siwezi kuwa poyoyo,<br />
<br />
Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,<br />
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka<br />
<br />
Bridge<br />
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,<br />
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2<br />
huuuuuuuuh Moyo wangu<br />
hiiiiiiih Nafsi yangu<br />
<br />
Only one day, ningekuwa kama wale,<br />
Kama maisha ya kambale eeeeeh<br />
<br />
Vitam tamu ndani yake vina sumu, wewe Moyoooh<br />
Mbona una nihukumu X2<br />
<br />
Only one day, ningekuwa kama wale<br />
Tungekuwa saresare<br />
Kama maisha ya kambale eeeeh<br />
<br />
***Written by meaconscious<br />
<br />
Only one day<br />
https://youtu.be/kg96TPuku6E]]></googleplay:description>
            <itunes:summary><![CDATA[Kosa langu me kukuçhagua,
Ikulu mwili wangu unanisumbua,
Nikupe nini ulidhike, yakome masekeseke.
Silali niwewesekeeh heeeh ee eeeh!!??

Bridge
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2
huuuuuuuuh Moyo wangu

Kiitikio
Only one day ningekuwa kama wale,
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale x2

Nijichane kifuani, nikianike hadharani,
Mfupa kwa kiboyo, siwezi kuwa poyoyo,

Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka

Bridge
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2
huuuuuuuuh Moyo wangu
hiiiiiiih Nafsi yangu

Kiitikio
Only one day ningekuwa kama wale,
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale x2

Nijichane kifuani, nikuanike hadharani,
Mfupa kwa kibogoyo, siwezi kuwa poyoyo,

Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka

Bridge
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2
huuuuuuuuh Moyo wangu
hiiiiiiih Nafsi yangu

Only one day, ningekuwa kama wale,
Kama maisha ya kambale eeeeeh

Vitam tamu ndani yake vina sumu, wewe Moyoooh
Mbona una nihukumu X2

Only one day, ningekuwa kama wale
Tungekuwa saresare
Kama maisha ya kambale eeeeh

***Written by meaconscious

Only one day
https://youtu.be/kg96TPuku6E]]></itunes:summary>
            <itunes:image href="https://img.hearthis.at/7/3/9/_/uploads/9603975/image_track/4906997/w1400_h1400_q70_ptrue_v2_----cropped_1636607500937.jpg" />
            <enclosure type="audio/mpeg" url="https://hearthis.at/meaconscious/onlyoneday/listen.mp3?s=oCc" length="4676339" />
            <guid isPermaLink="false">4906997</guid>
            <category><![CDATA[Arts]]></category>
            <googleplay:explicit>yes</googleplay:explicit>
            <itunes:explicit>yes</itunes:explicit>
            
            
            
                <pubDate>Wed, 01 Jul 2020 01:24:16 +0200</pubDate>
                
                <atom:updated>2021-04-14T10:03:02+02:00</atom:updated>
                
            
            
            <itunes:duration>3:14</itunes:duration>
        </item>
    </channel>
</rss>